Tunamshukuru Mungu kwa kutujalia amani na upendo kipindi chote cha Tamasha la Vijana Parokia ya Boko.
Pia shukrani zetu za dhati ni kwa Paroko wetu Padre Majeta walezi wetu Padre Dismas, sister Sabina na Fratel Paul na kwa upande wa walei tunawashukuru Baraza la walei parokia pamoja na halmashauri yake yote,Tunawashukuru sana.
mwisho ni kwa vijana wote walioshiriki na hongera sana kwa timu ya kigango cha Mbweni walioweza kuchukua kombe la mpira wa miguu na Kigango cha Boko waliweza kuchukua kikombe cha mpira wa netball.
Thursday, August 16, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
MAJIMBO YA ILALA, SEGEREA NA UKONGA – CCM ITAKUWA NA WAKATI MGUMU Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ipo kati ya Latitudo 6 na 7 kusini mwa I...