Saturday, November 29, 2014
SEMINA YA MWAKA WA FAMILIA YA FANA JANA
Vijana wa Parokia za Boko na Bunju Jana waliaanza Kongamano la Ujirani Mwema, kwa semina ya mwaka wa Familia.
Semina hiyo iliongozwa na Padre Nicolaus Ngowi, Padre ambaye ni Mlezi wa Vijana Parokia ya Boko, akieleza maandalizi ya kwa vijana kuingia kwenye sakramenti ya Ndoa, ni vizuri maandalizi yafanyike vizuri, na uamuzi wa kuoa au kuolewa si vizuri uwe kwa sababu,
ikieleza zaidi alisema Familia nyingi kwa sasa zimepoteza Tuna za kikristo, Tunajua kabisa kuwa familia ni kanisa dogo la nyumbani, lakini kwa sasa Mababa wengi hawewezi hata kuongoza sala ya asubuhi, hii ni changamoto ambayo inayowafanya vijana wengi kukosa maadili mazuri.
swala la wazazi kutokuwajibika kwa watoto wao pia inachochea anguko kubwa la maadili, wababa wamesahau majukumu yao, akiwakumbusha kuwa wao ni maparoko wa familia, hawatakiwi kulegelega.......
itaendelea
Semina hiyo iliongozwa na Padre Nicolaus Ngowi, Padre ambaye ni Mlezi wa Vijana Parokia ya Boko, akieleza maandalizi ya kwa vijana kuingia kwenye sakramenti ya Ndoa, ni vizuri maandalizi yafanyike vizuri, na uamuzi wa kuoa au kuolewa si vizuri uwe kwa sababu,
ikieleza zaidi alisema Familia nyingi kwa sasa zimepoteza Tuna za kikristo, Tunajua kabisa kuwa familia ni kanisa dogo la nyumbani, lakini kwa sasa Mababa wengi hawewezi hata kuongoza sala ya asubuhi, hii ni changamoto ambayo inayowafanya vijana wengi kukosa maadili mazuri.
swala la wazazi kutokuwajibika kwa watoto wao pia inachochea anguko kubwa la maadili, wababa wamesahau majukumu yao, akiwakumbusha kuwa wao ni maparoko wa familia, hawatakiwi kulegelega.......
itaendelea
Friday, November 28, 2014
YALIYOJIRI BUNGENI DODOMA LEO, MBUNGE ATINGA NA BANGO KUWANIA NAFASI, AAMRIWA ASAUla
Mbunge wa Mwibara Mhe.Kange Lugola akiomba kura za kuwania nafasi ya
Mjumbe wa Tume ya Utumishi Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma
leo Juni 11, 2014.
Mbunge wa Mwibara Mhe.Kange Lugola akivua bango alilokuwa ameva wakati akiomba kura kwa wabunge





MATUKIO KATIKA PICHA LEO ASUBUHI BUNGENI DODOMA
![]() |
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Tundu Lissu akiwasili leo |
Wednesday, November 26, 2014
PICHA, JINSI SITTA ALIVYOWATULIZA WAPINZANI KUHUSU UFISADI WA ESROW,
Mwenyekiti wa Bunge, Mh. Mussa Azan Zungu akiongozwa na Mpambe wa Bunge kutoka kwenye ukumbi wa Bunge wakati alipositisha kikao cha Bunge cha asubuhi leo Novemba 26, 2014. |
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akizugumza na Mbunge wa Viti Maalum Rachel Mashishanga kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo Novemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki na Mbunge wa Urambo, Mh. Samuel Sitta (katikati) akiwatuliza na baadhi ya wabunge wa Upinzani, Bungeni mjini Dodoma leo Novemba 26, 2014 |
Tumeuanza Mwaka wa Watawa Duniani, 2014 - 2016
Mama Kanisa pia anaadhimisha Jubilee ya miaka 5o tangu Mababa wa Mtaguso mkuu wa Pili wa Vatican walipotoa Tamko kuhusiana na Maisha ya Kitawa: Perfect Caritatis, yaani Upendo Mkamilifu, Waraka uliowataka Watawa kupyaisha maisha yao, kwa kutoa nafasi ya kwanza katika maisha ya kiroho, mashauri ya Kiinjili, maisha ya kijumuiya pamoja na malezi makini kwa wale wote wanaotaka kujisadaka kwa ajili ya Kristo na Kanisa lake.
Haya ni matukio makuu yatakayoliwezesha Kanisa kufanya tafakari ya kina katika maisha na utume wa Watawa sehemu mbali mbali za dunia. Mwaka wa Watawa Duniani unazinduliwa rasmi, Jumamosi jioni tarehe 29 Novemba 2014 kwenye Kanisa kuu la Bikira Maria Makuu, lililoko mjini Roma kwa Ibada na Mkesha wa Sala, kuanzia saa 1:00 Usiku. Tarehe 30 Novemba, 2014, Jumapili ya kwanza ya Kipindi cha Majilio, kutafanyika Ibada ya Misa Takatifu kwenye Uwanja wa Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican, kuanzia saa 4:00 asubuhi kwa saa za Ulaya.
Baraza la Kipapa la Mashirika ya Kitawa na Kazi za Kitume linasema kwamba, matukio haya ni muhimu sana katika uzinduzi wa Mwaka wa Watawa Duniani, kwa kujiweka chini ya ulinzi na usimamizi wa Bikira Maria, Mama wa Mungu na msimamizi wa maisha ya kitawa. Hiki ni kipindi cha matumaini, sala na tafakari ya kina kuhusu matendo makuu ya Mungu katika maisha ya Watawa wanaoendelea kujisadaka kwa ajili ya Mungu na jirani zao, kwa kutambua kwamba, imani ni zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu, ambayo Watawa wanapenda kuwamegea na kuwashirikisha wengine.
Ninyi Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina Langu......
Nifuraha kwetu Kuona yale tunayofanya yana sifa na Utukufu kwa Mungu, tokea 2011 hadi leo 2014 utume wetu upo na unazidi kuimara, tunawashukuru sana Walezi wetu na Wadau wetu wote kwa michango yao mbali mbali, hapo juu vijana wa wa parokia ya Boko wakiwa na Paroko wa Parokia ya Kigenge Chini Jimbo kuu la Arusha |
Askofu Nzigirwa akiongoza Ibada ya Matawi Don Bosco, ikiwa ni siku pia ya Azimisho la Vijana Ulimwenguni ilikuwa mwaka 2012. |
![]() |
Mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rafael, Baada ya Semina ya Siku Moja iliyofanyika katika Kijiji cha Furaha Mbweni mwaka 2011 |
Baadhi ya Vijana wa Kigango cha Bunju, kwa sasa Parokia ya Bunju wakiburudisha kwenye Sherehe ya Pentekoste ilikuwa mwaka 2012. |
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
MAJIMBO YA ILALA, SEGEREA NA UKONGA – CCM ITAKUWA NA WAKATI MGUMU Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ipo kati ya Latitudo 6 na 7 kusini mwa I...