Wednesday, August 27, 2014
Tafakari ya Neno la Mungu, Jumapili ya 21 ya Kipindi cha Mwaka A wa Kanisa
Mwamini
mwana wa Mungu unayetegea sikio Radio Vatican, Tumsifu Yesu Kristo.
Tunakuleteni tafakari ya Neno la Mungu Dominika ya 21 mwaka A
tukiongozwa na Nabii Isaya, Mtume Paulo na Mwinjili Matayo, ambao
wanatuambia kuwa imani thabiti katika Yesu Kristo Mwana wa Mungu ni
msingi wa wokovu wetu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
MAJIMBO YA ILALA, SEGEREA NA UKONGA – CCM ITAKUWA NA WAKATI MGUMU Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ipo kati ya Latitudo 6 na 7 kusini mwa I...
No comments:
Post a Comment