Saturday, October 18, 2014
Maadhimisho ya Siku ya 88 ya Kimissionari Duniani kwa Mwaka 2014
Mama
Kanisa tarehe 19 Oktoba 2014 anaadhimisha Siku ya 88 ya Kimissionari
Duniani, iliyoanzishwa kunako mwaka 1926 na Papa Pio wa Kumi na moja na
kuanza kuadhimishwa rasmi hapo mwaka 1927 kama siku ya kukoleza ari moyo
wa kimissionari katika kuwatangazia Watu wa Mataifa Habari Njema ya
Wokovu. Hii ni siku ambayo inaadhimishwa mwezi Oktoba, ambao kimsingi ni
mwezi wa kimissionari.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
MAJIMBO YA ILALA, SEGEREA NA UKONGA – CCM ITAKUWA NA WAKATI MGUMU Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ipo kati ya Latitudo 6 na 7 kusini mwa I...
No comments:
Post a Comment