Mgombea Ubunge wa CUF jimbo la Kinondoni,Said Maulid Mtulie ametangazwa kuwa mshindi wa jimbo hilo.
Na kumbwaga Mgombea Idd Azzan aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CCM kwa kipindi cha Miaka 10.
Mtulia amepata kura 70,337,huku Azzan aliyekuwa antetea kiti chake kupata kura 65,964.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
MAJIMBO YA ILALA, SEGEREA NA UKONGA – CCM ITAKUWA NA WAKATI MGUMU Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ipo kati ya Latitudo 6 na 7 kusini mwa I...
No comments:
Post a Comment