Thursday, August 16, 2012

SHUKRANI ZA TAMASHA

Tunamshukuru Mungu kwa kutujalia amani na upendo kipindi chote cha Tamasha la Vijana Parokia ya Boko.
   Pia shukrani zetu za dhati ni kwa Paroko wetu Padre Majeta walezi wetu Padre Dismas, sister Sabina na Fratel Paul na kwa upande wa walei tunawashukuru Baraza la walei parokia pamoja na halmashauri yake yote,Tunawashukuru sana.
  mwisho ni kwa vijana wote walioshiriki na hongera sana kwa timu ya kigango cha Mbweni walioweza kuchukua kombe la mpira wa miguu na Kigango cha Boko waliweza kuchukua kikombe cha mpira wa netball.

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR