SALA YA VIWAWA
Bwana Yesu nashukuru kwa siku hii ya leo.Nakukabidhi kazi za
mikono yangu,na matumaini yangu,jitihada zangu,furaha zangu na
huzuni zangu.
Nisaidie mimi na vijana wenzangu ili tuweze kufikiri kama wewe
kufanya kazi na wewe na kuishi ndani yako.
Nisaidie nikupende kwa moyo wangu wote na kukutumikia kwa nguvu
zangu zote.
Sunday, September 2, 2012
YOTE MIPANGO YA MUNGU
Paroko wa Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli- Bunju Padre Thomas Mtei akiwa na Padre Adolph Majeta aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Boko. wakati wa sherehe za Upadrisho na Bunju kutangazwa Parokia.
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
Isidore Bakanja, ambaye alitoa maisha yake kwa ajili ya imani ya Kikristo, Akiongozwa na maisha rahisi kama layman Katoliki wakati wa mauaj...