Thursday, June 6, 2013

Picture za Mkutano Mkuu wa Halmashauri ya VIWAWA Parokia ya Boko

 viongozi wakiwa katika semina fupi ya uongozi


 Masista walezi genny na Sabina wakisikiliza kwa makini kabisa
 Mkufunzi wetu Sista Catherine Oiso akitoa semina uongozi kwa halmashauri ya Viwawa boko
 Mkufunzi akiendelea kushoto ni Mhazini wa Parokia Happy mwikola na Katibu wa parokia Timoth Japhet
 uchovu wa semina na umakini wa viongozi hodari wenye hari ya kuongoza
 mhazini wa Parokia ya Bunju akiwa anafuatilia sisi bado ni ndugu na tunategemeana na kushirikiana







 Semina imeisha sasa Mwenyekiti wa Parokia  Ndugu Abel Reginald anafungua mkutano mkuu wa nusu mwaka
 katibu wa Parokia akisoma ripot ya chama kwa kipindi cha nusu mwaka
 Halmashauri ya VIWAWA Kigango cha Boko wakiwa na Sista Genny
 Halmashauri ya VIWAWA Kigango cha Mt. Raphael wakiwa na Masista walezi
 Halmashauri ya VIWAWA Kigango cha Mbweni wakiwa na Masista walezi
 Halmashauri ya VIWAWA Parokia ya Boko:kutoka kulia aliyesimama ni mwenyekiti wa Kigango cha mbweni Fabian Masanja, wa pili kutoka kushoto aliyesimama ni Mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rafael Annastela Ishebabi na watatu kutoka kushoto aliyekaa ni Mwenyekiti wa Kigango cha Boko Dickson

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR