Tuesday, February 17, 2015

Jumatano ya Majivu (ASH WEDNESDAY)

Jumatano ya Majivu ni siku ya kwanza ya kwaresima.
Jumatano ya Majivu Waamini hupakwa Majivu kichwani pamoja na kutamkiwa maneno ya kuhimizwa kufanya toba “ulitoka mavumbini na mavumbini utarejea.
Kwa kawaida siku hii ndiyo Kipindi cha kwaresima huanza rasmi . Waamini hufunga, mfungo unaofuata kilelezo cha Yesu kufunga siku Arobaini jagwani baada ya kubatizwa na Yohane Mbatizaji na kabla ya kuunza utume wake mwenyewe

UMUHIMU WA JUMATANO YA MAJIVU.
Ili kuelewa vizuri maana na umuhimu wa kipindi hiki, tutazame kwa ufupi haya yafuatayo: 

RATIBA YA IBADA YA Jumatano ya Majivu

Vigango vyote vya Parokia ya Boko ibada itaanza saa 11:00 Jioni

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR