Friday, November 28, 2014

YALIYOJIRI BUNGENI DODOMA LEO, MBUNGE ATINGA NA BANGO KUWANIA NAFASI, AAMRIWA ASAUla

Mbunge wa Mwibara Mhe.Kange Lugola  akiomba kura za kuwania nafasi ya Mjumbe  wa Tume ya Utumishi Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo Juni 11, 2014.   Mbunge wa Mwibara Mhe.Kange Lugola akivua bango alilokuwa ameva wakati akiomba kura kwa wabunge


MATUKIO KATIKA PICHA LEO ASUBUHI BUNGENI DODOMA

1
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Tundu Lissu akiwasili leo

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR