Sunday, February 8, 2015

Masomo ya dominika ya 5 mwaka B wa kanisa(tarehe 08/02/2015


08

 FEBRUARY
 Jumapili: Dominika ya 5 ya Mwaka "B".
SOMO  1. Ayu. 7:1-4,6-7
 Ayubu alianza kusema:Je! Mtu hana wakati wake wa vita juu ya nchi? Na siku zake, je!si kama siku za mwajiri? Kama mtumishi atamaniye sana kile kivuli, kama mwajiri anayetazamia mshahara wake; ni vivyo nami nimepewa miezi ya ubatili iwe fungu langu, Nami nimeandikiwa masiku yenye kuchokesha. Hapo nilalapo chini,nasema, nitaondoka lini? Lakini usiku huwa mrefu; Nami nimejawa na kujitupa huku na huku hata kupambazuke. Siku zangu hupita upesi kuliko chombo cha kufumia, nazo zapita pasipokuwa na matumaini. kumbuka ya kwamba maisha yangu ni upepo; jicho langu halitaona mema tena.

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR