Saturday, June 15, 2013

MATANGAZO YA DOMINIKA TAREHE 16/06/13



  JUMAPILI TAREHE 16/06/2013
      RATIBA ZA IBADA 
KIGANGO CHA MH. ISIDORI BAKANJA- BOKO.
MISA YA KWANZA 12:30-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI
KIGANGO CHA MT. FRANCIS WA ASIZ-MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 1:10-3:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 3:00-4:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
SAA 1:00-3:00 ASUBUHI.
MISA YA PILI SAA 3:00-5:00

KIGANGO CHA ANTHONY WA PADUA-MBWENI TETA
MISA NI SAA 3:00-5:00.


MIKUTANO
kutakuwa na kikao cha halmashauri ya Walei Parokia ya Boko kuanzia saa 4:00 asubuhi, wajumbe wa kikao hichi ni viongozi wote wa vigango, Mwenyeviti wote wa vyama vya kitume na Kamati tendaji.

MATANGAZO
  1.  Vijana wote mnaoenda Mbulu mnatakiwa kukutana Parokiani boko saa 4:00 asubuhi ukumbi wa chekechea.
  2. Waamini wote unakaribishwa kwenye uzinduzi wa Paroko cup kesho saa nane mchana Parokiani Boko
  3. tunatarajia kufanya sherehe ya kuwapongeza mashemasi wetu Paul, Victor na Pascal kwa kupata daraja la upadre sherehe hizo zitafanyika parokiani bunju tarehe 08/07/2013 kila mshiriki anatakiwa kuchangia Tshs 5000 kwa ajili ya chakula na vinywaji.
  4. Maandalizi ya Tamasha la Vijana kwa mwaka 2013 yameanza na kila kijana anatakiwa kulipa tshs 7000 mwisho wa kuwakilisha mchango ni tarehe 02/08/2013 unawaza kufanya malipo kwa njia ya benk kwa jina na number hii :viwawa parokia ya boko account no 01524526820100 crdb bank tegeta branch
  5.  
  6.  
  7. tunawakumbusha vijana wote kuendelea kulipa ada kwa maendeleo ya chama chetu..... mapendo sana

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR