Baba Mtakatifu Francisko amemteua Monsinyo Liberatus Sangu kutoka Jimbo Katoliki la Sumbawanga, kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Tanzania. Kabla ya uteuzi wake, Askofu mteule Sangu alikuwa ni Afisa mwandamizi katika Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa watu mjini Vatican.
Showing posts with label Askofu Mteule wa jimbo la shinyanga. Show all posts
Showing posts with label Askofu Mteule wa jimbo la shinyanga. Show all posts
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Madhara Yanayosababishwa na Ponografia HABARI ya kila aina kuhusu ngono inapatikana kwa urahisi kupitia televisheni, sinema, video za muzik...
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Belgian police are hunting an Islamic State suspect seen with two supposed suicide bombers shortly before they struck Brussels Airport in ...