Showing posts with label semina ya viwawa dekania ya mt. gasper 27/06/2015. Show all posts
Showing posts with label semina ya viwawa dekania ya mt. gasper 27/06/2015. Show all posts

Tuesday, June 16, 2015

SEMINA YA VIJANA WA DEKANIA YA MT. GASPER DEL BUFFALO - MBEZI BEACH

Halmashauri ya VIWAWA Dekania Pamoja na walezi wameanda semina ya siku moja. Semina hii itafanyikia katika Parokia ya Mt. Nicolaus Kunduchi Mtongani jumamosi ya tarehe 27/06/2015.

Mada kuu kwenye Semina hii ni Kijana na Mahusiano katika familia, semina hii inatarajiwa kuanza saa mbili kamili asubuhi na kumalizika saa 9 alasiri.

Mchango ni Tshs 5000 kwa kila kijana ikiwa ni kwa matumizi ya Chakula, Vinywaji, ukumbi na malipo kwa mkufunzi(mtoa mada.

hebu kwa kifupi tuone ni yapi ambayo yataenda kufundishwa kwa kina hiyo siku,
1, Kijana ni nani
2. Mahusiano ni yapi
3. Familia ni  ipi
 ni matumaini yetu vijana wengi mtahamasika na kufika hiyo siku kwa ajili ya kupata mafunzo na uzoefu wa kuanzisha familia mpya.

kwa mawasiliano ukiwa unataka kushiriki wasiliana na uongozi wa viwawa Dekania ya Mt. Gasper kwa number hii 0652 369 902

soma zaidi>>>>>>>

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR