Showing posts with label mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu. Show all posts
Showing posts with label mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu. Show all posts

Sunday, November 8, 2015

DR. HELEN KIJO BISIMBA APATA AJALI

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Dr. Helen Kijo Bisimba amepata ajali ya gari leo asubuhi katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es salaam. 
Gari hilo lilikuwa likiendeshwa na dereva wake ambaye naye inasemekana amejeruhiwa. Hivi sasa Mkurugenzi huyo wa LHRC anapatiwa matibabu katika hospitali ya Agha Khan jijini Dar es Salaa.Taarifa zaidi kuwajia

 
 

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR