Tuesday, April 11, 2017

TAMASHA LA VIJANA DEKANIA YA MT. GASPER

TAMASHA LA VIJANA DEKANIA YA MT. GASPER Vijana wa Dekania ya Mt. Gasper Del Bufallo walikutana Tarehe 26/11/2016, katika Tamasha lao la kufunga Mwaka, Tamasha hilo lilianza kwa Ibada ya Misa Takatifu iliyoongozwa na Padre Mlezi wa Dekania Pd. Dominic Soloma. Baada ya Ibada ilifuata Semina na Michezo Mbali Mbali

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PICHA ZOTE

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR