Tuesday, July 28, 2015

UZINDUZI WA KITUO CHA HIJA BOKO

Tarehe 12/09/2015, kituo cha hija ya vijana wa jimbo kuu la Dar es salaam, kumbukumbu ya Msalaba kuombea amani ulimwenguni. kitafunguliwa Rasmi na Polycarp Pengo.

Picture ya Jengo la Kituo likiwa kwenye hatua za mwisho:





NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR