Thursday, October 31, 2013

Sherehe za Nadhari za kwanza Wanovisi wa Shirika la Carmelite sisters

Wanavosisi watano wa shirika la masista wakarmel wamisionari wa Mt. teresia wa Mtoto Yesu, watarajia kufunga naziri za kwanza za kitawa, ambao ni
  1. Betrice Faustine Urio
  2. Dorice Kalebi Tarimo
  3. Emeritha Joseph Kavishe.
  4. Hemilete Masika Sivatungika
  5. Salange Kavuke Syaghuswa.
 Ibada itafanyika katika Parokia ya Ekaristi Takatifu Lushoto, siku ya Ijumaa ya tarehe 01/11/2013,siku ya  Sherehe ya Watakatifu wote, Na itaongozwa na Askofu wa Jimbo la Tanga: Mhashamu Askofu Anthony Banzi.
 Na baada ya Ibada itafuata Tafrija fupi ya kuwapongeza katika nyumba ya wito wa kitawa ya Jumuiya ya Bikira Maria wa Mlima Karmel - lushoto KIALO,

Mungu awaongeze na Mt. Teresia wa Mtoto Yesu awe Mlinzi wako...

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR