Showing posts with label MATANGAZO YA WEEK. Show all posts
Showing posts with label MATANGAZO YA WEEK. Show all posts

Saturday, June 15, 2013

MATANGAZO YA DOMINIKA TAREHE 16/06/13



  JUMAPILI TAREHE 16/06/2013
      RATIBA ZA IBADA 
KIGANGO CHA MH. ISIDORI BAKANJA- BOKO.
MISA YA KWANZA 12:30-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI
KIGANGO CHA MT. FRANCIS WA ASIZ-MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 1:10-3:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 3:00-4:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
SAA 1:00-3:00 ASUBUHI.
MISA YA PILI SAA 3:00-5:00

KIGANGO CHA ANTHONY WA PADUA-MBWENI TETA
MISA NI SAA 3:00-5:00.


MIKUTANO
kutakuwa na kikao cha halmashauri ya Walei Parokia ya Boko kuanzia saa 4:00 asubuhi, wajumbe wa kikao hichi ni viongozi wote wa vigango, Mwenyeviti wote wa vyama vya kitume na Kamati tendaji.

MATANGAZO
  1.  Vijana wote mnaoenda Mbulu mnatakiwa kukutana Parokiani boko saa 4:00 asubuhi ukumbi wa chekechea.
  2. Waamini wote unakaribishwa kwenye uzinduzi wa Paroko cup kesho saa nane mchana Parokiani Boko
  3. tunatarajia kufanya sherehe ya kuwapongeza mashemasi wetu Paul, Victor na Pascal kwa kupata daraja la upadre sherehe hizo zitafanyika parokiani bunju tarehe 08/07/2013 kila mshiriki anatakiwa kuchangia Tshs 5000 kwa ajili ya chakula na vinywaji.
  4. Maandalizi ya Tamasha la Vijana kwa mwaka 2013 yameanza na kila kijana anatakiwa kulipa tshs 7000 mwisho wa kuwakilisha mchango ni tarehe 02/08/2013 unawaza kufanya malipo kwa njia ya benk kwa jina na number hii :viwawa parokia ya boko account no 01524526820100 crdb bank tegeta branch
  5.  
  6.  
  7. tunawakumbusha vijana wote kuendelea kulipa ada kwa maendeleo ya chama chetu..... mapendo sana

Tuesday, February 26, 2013

MATANGAZO YA JUMA TAREHE 02-03/03/13

  JUMAMOSI TAREHE 02/03/2013
  1.  Kutakuwa na mafungo ya jubilee ya Miaka 200 ya Shirika la Damu Takatifu, Mafungo hayo yatafanyikia katika kituo cha Hija cha Shirika kilichopo Parokia ya Mt. Gasper De Bufalo Mbezi Beach na yataanza saa 2:00 asubuhi.
  2.  
  3. Kamati tendaji ya VIWAWA Kigango cha Mt. Rafael Mbweni Malindi watafanya kikao saa kumi na moja jioni Kigangoni...Pia Vijana wote wanakumbushwa kufika saa kumi Jioni kwa ajili ya Mazoezi ya Kwaya.


       JUMAPILI TAREHE 03/03/2013
      RATIBA ZA IBADA ZA MISA TAKATIFU
KIGANGO CHA BOKO.
MISA YA KWANZA 12:30-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 4:00-5:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
SAA 2:00-4:00 ASUBUHI.

KIKAO CHA HALMASHAURI YA VIWAWA PAROKIA

Halmashauri ya VIWAWA Parokia watakuwa na Kikao mara baada ya Misa ya Pili Saa 4:00 asubuhi kikao kitafanyikia Parokiani Boko wajumbe wote mnatakiwa kufika Bila kukosa.

.....Wasilisha Mchango wako wa Hija ya Bagamoyo kwa Mhazini wa Jumuiya yako au Kigango chako Kabla ya Tarehe 09/03/2013..........

Sunday, February 24, 2013

Matangazo ya Juma la lijalo......

      JUMAMOSI TAREHE 02/03/2013
  1.  Kutakuwa na mafungo ya jubilee ya Miaka 200 ya Shirika la Damu Takatifu, Mafungo hayo yatafanyikia katika kituo cha Hija cha Shirika kilichopo Parokia ya Mt. Gasper De Bufalo Mbezi Beach na yataanza saa 2:00 asubuhi
  2. Kamati tendaji ya VIWAWA Kigango cha Mt. Rafael Mbweni Malindi watafanya kikao saa kumi na moja jioni Kigangoni...Pia Vijana wote wanakumbushwa kufika saa kumi Jioni kwa ajili ya Mazoezi ya Kwaya.
  

       JUMAPILI TAREHE 03/03/2013
      RATIBA ZA IBADA ZA MISA TAKATIFU
KIGANGO CHA BOKO.
MISA YA KWANZA 12:30-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 4:00-5:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
SAA 2:00-4:00 ASUBUHI

Halmashauri ya VIWAWA Parokia watakuwa na Kikao mara baada ya Misa ya Pili Saa 4:00 asubuhi kikao kitafanyikia Parokiani Boko wajumbe wote mnatakiwa kufika Bila kukosa.

Wasilisha Mchango wako wa Hija ya Bagamoyo kwa Mhazini wa Jumuiya yako au Kigango chako Kabla ya Tarehe 09/03/2013

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR