Showing posts with label matangazo ya week 18-24/03/2013. Show all posts
Showing posts with label matangazo ya week 18-24/03/2013. Show all posts

Monday, March 18, 2013

MATANGAZO YA JUMA LA MATAWI-18-24/03/2013

Mazoezi ya Igizo la Ijumaa kuu yanaendelea Kigangoni Boko fika kuanzia jumatatu hadi jumapili  saa kumi jioni. 

Wasilisha Mchango wako wa Matawi kwa Viongozi wako wa jumuiya na kigango. 
  1.  JUMAMOSI TAREHE 23/03/2013
 Vijana wa Kigango cha Rafael wanatakiwa kukutana jumamosi asubuhi kwa ajili ya kufanya maandalizi ya Matawi Muda ni saa 12:30 asubuhi.
  Vijana wa Kigango cha Mbweni nao wanabidi wakutane asubuhi kwa ajili ya kujiandaa Kusimamia ibada siku ya jumapili ya Matawi.
   jumamosi saa 7:00 mchana tutakuwa na kikao cha halmashauri agenda na maandalizi ya ibada ya matawi don bosco.
  
 
 2.JUMAPILI TAREHE 24/03/2013
Vijana wote wa Parokia tutashiriki katika Ibada ya Matawi itakayofanyika don bosco upanga kuanzia saa tatu asubuhi.
   
  JUMAPILI TAREHE 24/03/2013
      RATIBA ZA IBADA YA MATAWI
KIGANGO CHA BOKO.
MISA YA KWANZA 12:30-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI
KIGANGO CHA MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 1:00-3:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 3:00-4:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
SAA 2:00-4:00 ASUBUHI.


CHAGIA USHIRIKI WAKA WA  ibada ya matawi don bosco MAPEMA...tarehe 24/03/2013 mchango ni tshs 3500

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR