hatimaye Vikombe vipo mezani vinawasubiri washindi
Saturday, August 4, 2012
this iz it
Paroko wa Parokia ya Boko Padre Aldolph I.L. Majeta, CPPS akiwa na vikombe vya washindi wa ligi ya parokia ya boko kwa netball na football kombe hili litatolewa jumapili kwenye kilele cha Tamasha la vijana na sikuku ya somo wa parokia yetu Mwenye Heri Isidori Bakanja.
Subscribe to:
Comments (Atom)
-
MAJIMBO YA ILALA, SEGEREA NA UKONGA – CCM ITAKUWA NA WAKATI MGUMU Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ipo kati ya Latitudo 6 na 7 kusini mwa I...
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Madhara Yanayosababishwa na Ponografia HABARI ya kila aina kuhusu ngono inapatikana kwa urahisi kupitia televisheni, sinema, video za muzik...