hatimaye Vikombe vipo mezani vinawasubiri washindi
Saturday, August 4, 2012
this iz it
Paroko wa Parokia ya Boko Padre Aldolph I.L. Majeta, CPPS akiwa na vikombe vya washindi wa ligi ya parokia ya boko kwa netball na football kombe hili litatolewa jumapili kwenye kilele cha Tamasha la vijana na sikuku ya somo wa parokia yetu Mwenye Heri Isidori Bakanja.
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
Isidore Bakanja, ambaye alitoa maisha yake kwa ajili ya imani ya Kikristo, Akiongozwa na maisha rahisi kama layman Katoliki wakati wa mauaj...