Showing posts with label SOMO LA SIKU. Show all posts
Showing posts with label SOMO LA SIKU. Show all posts

Monday, February 25, 2013

SOMO LA LEO FEB 25 JUMA LA 2 LA KWARESIMA


 S0M0 LA 1


“Ee Bwana, Mungu mkuu na
unayetisha, anayeshika agano lake
la
upendo kwao wanaompenda na kutii
maagizo yake, tumetenda dhambi na
5
kufanya mabaya. Tumekuwa waovu na
tumeasi, tumegeuka mbali na maagizo yako
na sheria zako.  Hatukuwasikiliza watumishi

wako manabii, ambao kwa jina lako
walisema na wafalme wetu, wakuu wetu,
baba zetu na watu wote wa nchi.
Bwana, wewe ni mwenye haki, lakini
siku hii ya leo tumefunikwa na aibu,
wanaume wa Yuda na watu wa Yerusalemu
nayo Israeli yote, wote walio karibu na walio
mbali, katika nchi zote ulikotutawanya kwa
sababu ya sisi kukosa uaminifu kwako. Ee
8
BWANA, sisi na wafalme wetu, wakuu wetu
na baba zetu tumefunikwa na aibu kwa
sababu tumefanya dhambi dhidi yako.
9
BWANA wetu ni mwenye rehema na
anayesamehe, hata ingawa tumefanya uasi
dhidi  yake,
10
hatukumtii BWANA Mungu
wetu wala kuzishika sheria alizotupa kupitia
kwa watumishi wake manabii

INJILI YA LEO 

6
huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Kuwahukumu Wengine
37
“Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa.
Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni,
nanyi mtasamehewa.  Wapeni watu vitu, nanyi
38
mtapewa. Kipimo cha kujaa na kushindiliwa na
kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu
watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa
kipimo kile kile mpimacho, ndicho
mtakachopimiwa. 
 TUTAFAKARI PAMOJA.......

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR