Monday, March 11, 2013

  1.  JUMATANO TAREHE 13/03/2013
 Kutakuwa na kikao cha dharura cha halmashauri ya VIWAWA Parokia ya Boko Agenda maandalizi ya Hija Bagamoyo- kikao kitafanyika saa kumi na mbili na nusu jioni Parokia Boko....fika bila kukosa
 2.JUMAMOSI TAREHE 16/03/2013
Vijana wote wa Parokia tutashiriki katika Hija ya Vijana wa Jimbo la Dar es salaam itakayofanyikia Bagamoyo.......Usafiri utafika Vigangoni saa moja asubuhi tayari kwa safari...
    
  JUMAPILI TAREHE 17/03/2013
      RATIBA ZA IBADA ZA MISA TAKATIFU
KIGANGO CHA BOKO.
MISA YA KWANZA 12:30-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI
KIGANGO CHA MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 4:00-5:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
SAA 2:00-4:00 ASUBUHI.

KIKAO CHA HALMASHAURI YA WALEI PAROKIA

Halmashauri ya WALEI Parokia watakuwa na Kikao mara baada ya Misa ya Pili Saa 4:00 asubuhi kikao kitafanyikia Parokiani Boko wajumbe wote mnatakiwa kufika Bila kukosa. ni siku ya Uchaguzi wa Viongozi wa WALEI ngazi ya Parokia.

....Wasilisha Mchango wako wa Hija ya Bagamoyo kwa Mhazini wa Jumuiya yako au Kigango chako Kabla ya Tarehe 09/03/2013..........

anza maandalizi ya ibada ya matawi don bosco tarehe 24/03/2013 mchango ni tshs 3500

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR