Showing posts with label harmonize na Boss wake Diamond. Show all posts
Showing posts with label harmonize na Boss wake Diamond. Show all posts

Thursday, January 7, 2016

HARMONIZE AMEAMUA KUCHORA TATOO YA BOSS WAKE

Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua
kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa
wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na
kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.
h n d
Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram
kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:
Harmonize tattoo
Harmonize tattoo

/“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora
Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango Mkubwa Sanaaaa Katika Maisha
Yangu Leo Hii Mimi Ninathaminika Kutoka Kwenye Kunyanyasika
Ninaheshimika Kutoka Kwenye Kudhalaulika Nimekuwa Maarufu Na Kupata
Uthamani Mkubwa Kupitia Yeye Siotu Kwa Kipaji Nilicho Nacho Kwani
Wangapi Wanavipaji…??? Naisaidia Familia Yangu Kwa Kile Nikipatacho
Sihaba Akiwa Na Mchango Wake Mkubwa Sana…… Lakini Mwisho Wasiku Haya Ni
Maisha Nahii Ni Dunia Inamambo Mengi Sanaa Hasa Sisi Vijana Ambao
Niwepesi Wa Kujisahau Kinaweza Tokea Kitu Kidogo Sanaa Ukasahau Wema Na
Fadhira Ulizotendewa, Lakini Pia Mungu Ndio Katukutanisha Na Karibia
Watu Wengi Wanajua Tumekutanaje Kwamana Nimekuwa Nikiulizwa Katika
Vyombo Vya Habari Tofauti Tofauti So Watu Wengi Wanajua Tulivyo Kutana
But Hakuna Anaejua Tutaachana Vipi kwamana Sisi Ni Binadamu Kuna Kifo
Leo Na kesho Huwezi Jua Yawanadamu Ni Mengi Siamini Kuwa Binadamu Wote
Duniani Wanafurahia Mahusiano Na Ukaribu Wetu Na Huwezi Shindana Na
Binadamu Ukijua Yambele Wenzio Wanajua Yanyuma Ndio Mana Yakujichora
Hiii Picha Yake Amabayo Haitofutika Hadi Naingia Kaburini Hata ikitokea
Hatupo Pamoja Nikiitazama Hii Picha Itabaki Kama Kumbu Kumbu Na Heshima
Yangu Kwake Hadi Siku Yangu Ya Mwisho Haya Ni Maamuzi Yangu Binafsi…..”/

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR