Monday, January 12, 2015

Mwongozo wa Sinodi ya Maaskofu kuhusu Familia arehe 4 hadi tarehe 25 Oktoba 2015

Mama Kanisa ameanza hija kuelekea maadhimisho ya Sinodi ya kumi na nne ya kawaida ya Maaskofu itakayofanyika mjini Vatican kuanzia tarehe 4 hadi tarehe 25 Oktoba 2015 kwa kuongoza na kauli mbiu “Wito na Utume wa Familia katika Kanisa na Ulimwengu mamboleo”.

Sherehe za Mapinduzi leo Zanzibar

tunachukua nafasi hii kuwatakia siku njema na yenye amani katika sherehe ya mapinduzi ya Zanzibar.

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR