Mama
Kanisa ameanza hija kuelekea maadhimisho ya Sinodi ya kumi na nne ya
kawaida ya Maaskofu itakayofanyika mjini Vatican kuanzia tarehe 4 hadi
tarehe 25 Oktoba 2015 kwa kuongoza na kauli mbiu “Wito na Utume wa
Familia katika Kanisa na Ulimwengu mamboleo”.
Monday, January 12, 2015
Sherehe za Mapinduzi leo Zanzibar
tunachukua nafasi hii kuwatakia siku njema na yenye amani katika sherehe ya mapinduzi ya Zanzibar.
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
Isidore Bakanja, ambaye alitoa maisha yake kwa ajili ya imani ya Kikristo, Akiongozwa na maisha rahisi kama layman Katoliki wakati wa mauaj...