Showing posts with label Meya mpya dar es salaam apatikana. Show all posts
Showing posts with label Meya mpya dar es salaam apatikana. Show all posts

Tuesday, March 22, 2016

MEYA MPYA WA JIJI LA DAR ES SALAAM NI MH. ISAYA CHACHA

  Kaimu Mkurugenzi Jiji la Dar es Salaam Bi. Sara Yohana amemtanganza Mhe. Isaya Chacha Diwani wa Kata ya Vijibweni (CHADEMA) kutoka Manispaa ya Temeke kuwa Meya Mpya wa Jiji hilo.
 
Kaimu Mkurugenzi huyo alimtangaza Isaya kuwa mshindi mara baada ya uchaguzi huo kufanyika leo  jijini Dar es Salaam ambapo mshindi alipata kwa kura 84 dhidi ya mgombea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bw.Yenga Yusuph ambaye alipata kura 67 wakati kura 7 ziliharibika katika uchaguzi huo.

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR