Thursday, October 30, 2014

Semina ya Awali (ujasiriamali na kijana)

Tarehe 08/11/2014, Halmashauri za VIWAWA, Parokia ya Boko na Bunju, Watakuwa na Semina Elekezi ya Ujasiriamali, Itakayofanyikia kwenye ukumbi wa masista Wakarmel Boko
Semina Hii itaanza saa 2:00 Asubuhi, na itaongozwa na Mkufunzi wetu, Mr. Aloyce Dinho, zaidi ya hawa viongozi pia tunawakaribisha vijana wengine wenye uelewa wa elimu ya ujasiriamali au wale ambao tayari wanafanya ujasiriamali.
unaweza kuwasiliana nasi kupitia number hii 0713 900 905. bonyeza hapa endelea kusoma hapa>>>>>>>

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR