Showing posts with label dekania ya Gasper-Mbezi Beach. Show all posts
Showing posts with label dekania ya Gasper-Mbezi Beach. Show all posts

Monday, November 11, 2013

MABIGWA WA DEKANI YA MT. GASPER - MBEZI BEACH

Baada ya kumalizika kwa mashindano ya Dekania Cup, sasa nguvu zote tumeizihamimishia kwenye Pengo cup, tukiwa tuna wachezaji wengi wenye Vipaji kwenye michezo ya Mpira wa Miguu, Pete na Mpira wa Wavu, ni matumaini yetu tutaleta mshindani mkubwa na kuchukua ubigwa

Mabigwa wa mwaka 2013 - 2014

Mpira wa Miguu
Bigwa ni Parokia ya Gasper
Mshindi wa Pili ni Parokia ya Tegeta
Mshindi wa Tatu ni Parokia Ya Bahari Beach

Mpira wa Pete (Netball)
Bigwa ni Parokia ya Dominiko
Mshindi wa Pili ni Parokia ya Kunduchi
Mshindi wa Tatu ni Parokia Ya Boko

Mpira wa Wavu (Vollyball)
Bigwa ni Parokia ya Domoniko
Mshindi wa Pili ni Parokia ya Bunju





na Abel Reginald Katibu Vijana Dekania

Tuesday, February 26, 2013

DEKANIA YA MT.GASPER DE BUFALO-KUNDUCHI

Dekania ya Mt Gasper inazijumuisha parokia zilizipo 
Mbezi Beach, Kunduchi, Tegeta, Boko na Bunju.

Dekania Hii inajumla  ya Parokia  kumi mpaka sasa:

  1.  Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma -Mbezi Beach

  2. parokia ya Mt. Dominick - Mbezi Juu

  3. Parokia ya Mt. Gasper De Bufalo- Mbezi Chini(Machakani)

  4. Parokia ya MT. Agustino -Salasala

  5. Parokia Mt. Nicolous- Kunduchi

  6. Parokia ya Damu Takatifu-Tegeta

  7. Parokia ya Mt.Adrea Bahari Beach

  8. Parokia ya Madale

  9. Parokia ya Mwenye Heri Isidori Bakanja -Boko

  10. Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmel - Bunju

Ndani ya Dekania hii kuna Vituo vya Hija viwili(2)

Kituo cha Hija ya Vijana Jimbo la Dar es salaam- Parokia ya Boko

Kituo cha Hija ya Shirika la Damu Takatifu ya Yesu - Parokia ya Mt. Gasper- Mbezi Beach 

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR