Showing posts with label MH. Isidori Bakanja. Show all posts
Showing posts with label MH. Isidori Bakanja. Show all posts

Wednesday, August 13, 2014

blessed Isidore Bakanja Day

Blessed Isidore Bakanja was beatified on 24 April 1994 by Pope John Paul II. His feast day is 12 August on the Carmelite Calendar of Saints, and 15 August in the general Church calendar. Isidore Bakanja is considered a strong witness to the grace of reconciliation that can be experienced between peoples of different races.bonyeza hapa kuendelea ,endelea kusoma

Thursday, March 7, 2013

MAISHA YA MH.ISIDORI BAKANJA

KAMA VIJANA YATUPASA TUJIFUNZE KUTOKA KWA MH. ISIDORI BAKANJA



Mwenyeheri Isidori Bakanja, msimamizi wa Parokia yetu ya Boko, aliyeuwawa kikatili kati ya tarehe 8 na 15 Agosti, 1909, akiwa amevalia shingoni mwake, Skapulari ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli. Alifariki dunia akiwa katika mateso makali, lakini kwa ajili ya imani yake kwa Kristo na Kanisa lake aliyapokea hayo yote kwa imani na matumaini katika maisha ya uzima wa milele.

Mapadre waliokuwa wanampatia Mpako wa Wagonjwa walimwomba, kusamehe na kusahau, bali kwa imani na matumaini aendelee kuubeba vyema Msalaba wake kwa kumfuasa Kristo hata katika njia ya mateso na madhulumu.

Huyu ndiye Mwenyeheri Isidori Bakanja msimamizi wa Parokia yetu ya Boko, ambaye tunamwomba kwa sala na maombezi yake, asaidie juhudi zetu zauinjilishaji na harakati za maendeleo endelevu, Yeye ambaye kwa miaka kumi na nane ya ujana wake na miaka mitatu tu, tangu alipoikumbatia Habari Njema ya Wokovu na kupata tuzo la maisha ya milele mbinguni awe kweli ni mwombezi wa Vijana na Waamini wote wa Parokia yetu.

Changamoto wanayokabiliana nayo wakristo ni kuhakikisha kwamba, hata katika madhulumu na magumu ya maisha, wanajitahidi kujenga misingi ya haki, amani na upatanisho. Mapambano haya yanakwenda sanjari na vita dhidi ya dhuluma, nyanyaso, uonevu, rushwa, wizi na ufisadi; ili kukoleza moyo wa majitoleo kwa ajili ya mafao ya wengi ndani ya jamii. Ni mwaliko wa kujenga na kuendeleza misingi ya uadilifu na maadili mema ndani ya jamii kwa kukazia pia elimu ya uraia pamoja na matumizi ya rasilimali ya nchi kwa ajili ya mafao ya wengi.



Wednesday, September 19, 2012

MJUE MWENYE HERI ISIDORI BAKANJA

Bakanja, Isidore
c. 1885 to 1909
Catholic Church
Democratic Republic of Congo


Isidore Bakanja, who gave his life for the Christian faith, led a simple life as a Catholic layman at the time of the atrocities perpetrated by King Leopold II's regime in the Congo Free State. He was born at Bokendela on the river Congo, north of the town of Mbandaka (formerly Coquihatville). His father and mother were called Iyonzwa and Inyuka. Bakanja's own name was variously pronounced as Bakanda, Bakana, Bokando, Makanda and Makando. In his early twenties Bakanja went down river to Mbandaka seeking employment. There he became a mason and was employed by the government in the building industry. While in Mbandaka he came across Catholic missionaries of the Trappist (Cistercian) Order, was instructed by them and was baptized at St. Eugene's parish, Bolokwa-Nsimba, on May 6th, 1906. He received First Communion and Confirmation later in the same year. Bakanja lived his new faith very simply, cherishing the two external signs of the rosary and the scapular which he never failed to wear. By word and example, he attracted friends and acquaintances to the Christian faith....Click here kusoma zaidi.........



NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR