Mgombea Ubunge wa CUF jimbo la Kinondoni,Said Maulid Mtulie ametangazwa kuwa mshindi wa jimbo hilo.
Na kumbwaga Mgombea Idd Azzan aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CCM kwa kipindi cha Miaka 10.
Mtulia amepata kura 70,337,huku Azzan aliyekuwa antetea kiti chake kupata kura 65,964.
Showing posts with label uchaguzi 2015:wabunge wa Mkoa wa Dar es salaam.. Show all posts
Showing posts with label uchaguzi 2015:wabunge wa Mkoa wa Dar es salaam.. Show all posts
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
Isidore Bakanja, ambaye alitoa maisha yake kwa ajili ya imani ya Kikristo, Akiongozwa na maisha rahisi kama layman Katoliki wakati wa mauaj...