Monday, November 11, 2013

MABIGWA WA DEKANI YA MT. GASPER - MBEZI BEACH

Baada ya kumalizika kwa mashindano ya Dekania Cup, sasa nguvu zote tumeizihamimishia kwenye Pengo cup, tukiwa tuna wachezaji wengi wenye Vipaji kwenye michezo ya Mpira wa Miguu, Pete na Mpira wa Wavu, ni matumaini yetu tutaleta mshindani mkubwa na kuchukua ubigwa

Mabigwa wa mwaka 2013 - 2014

Mpira wa Miguu
Bigwa ni Parokia ya Gasper
Mshindi wa Pili ni Parokia ya Tegeta
Mshindi wa Tatu ni Parokia Ya Bahari Beach

Mpira wa Pete (Netball)
Bigwa ni Parokia ya Dominiko
Mshindi wa Pili ni Parokia ya Kunduchi
Mshindi wa Tatu ni Parokia Ya Boko

Mpira wa Wavu (Vollyball)
Bigwa ni Parokia ya Domoniko
Mshindi wa Pili ni Parokia ya Bunju





na Abel Reginald Katibu Vijana Dekania

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR