Showing posts with label Askofu mteule Liberatus Sangu. Show all posts
Showing posts with label Askofu mteule Liberatus Sangu. Show all posts

Thursday, February 12, 2015

Askofu mteule wa jimbo la Shinyanga amekiri Kanuni ya Imani na kula kiapo cha utii kwa Kanisa anapotekeleza dhamana na wajibu wake wa kufundisha, kuongoza na kuwatakatifuza watu wa Mungu,


Askofu mteule Liberatus Sangu wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Jumanne tarehe 10 Februari 2015 katika Ibada ya Liturujia ya Neno la Mungu, iliyoongozwa na Askofu mkuu Savio Hon Tai-Fai, Katibu mkuu wa Baraza la Kipapa la Uinjilishaji wa Watu amekiri Kanuni ya Imani na kula kiapo cha utii kwa Kanisa anapotekeleza dhamana na wajibu wake wa kufundisha, kuongoza na kuwatakatifuza watu wa Mungu, huku akiwa ameungana na Maaskofu wenzake.

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR