Tuesday, July 9, 2013

KILA MWENYE PUMZI AMSIFU BWANA

  Nani wa msifu Bwana na vipi? Imeandikwa, Zaburi 150:1-6 . Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika anga la uweza wake msifuni katika matendo yake makuu msifuni kwa kadiri ya ukuu wake. Msifuni kwa mvumo wa baragumu msifuni kwa kinanda na kinubi; msifuni kwa matari na kucheza msifuni kwa sese na filimbi. Msifuni kwa matoazi yaliyayo msifuni kwa matoazi yavumayo sana. Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana. 

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR