Showing posts with label Tufanye kwa sifa na Utukufu wa Mungu. Show all posts
Showing posts with label Tufanye kwa sifa na Utukufu wa Mungu. Show all posts

Wednesday, November 26, 2014

Ninyi Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina Langu......

Nifuraha kwetu Kuona yale tunayofanya yana sifa na Utukufu kwa Mungu, tokea 2011 hadi leo 2014 utume wetu upo na unazidi kuimara, tunawashukuru sana Walezi wetu na Wadau wetu wote kwa michango yao mbali mbali, hapo juu vijana wa wa parokia ya Boko wakiwa na Paroko wa Parokia ya Kigenge Chini Jimbo kuu la Arusha


Askofu Nzigirwa akiongoza Ibada ya Matawi Don Bosco, ikiwa ni siku pia ya Azimisho la Vijana Ulimwenguni ilikuwa mwaka 2012.


Mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rafael, Baada ya Semina ya Siku Moja iliyofanyika katika Kijiji cha Furaha Mbweni mwaka 2011

Baadhi ya Vijana wa Kigango cha Bunju, kwa sasa Parokia ya Bunju wakiburudisha kwenye Sherehe ya Pentekoste ilikuwa mwaka 2012.


















NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR