Thursday, September 25, 2014

Hawa Wote Walikuwa na sisi na Wengine Bado wapo na sisi Utume wa Viwawa unazidi kusonga mbele




 vijana wa Parokia ya Bunju wakiwa na mlezi wao kipindi hicho 2012 kutoka kushoto ni Getruda, Fr, Paul Malewa, Lucy Linuc

Vijana wa Parokia ya Boko wakiwa kijiji cha furaha mbweni waliposhiriki semina ya siku moja(2012) 


Ruben, Diana na wengine ambao kwa sasa hatujui utume wao wanafanyia wapi
Vijana wa Kigango cha Bunju(kwa sasa Parokia) wakiwa katika ibada ya Matawi 2012 Don Bosco Upanga

Viongozi wa Kigango cha Bunju(kwa sasa Parokia)kutoka kushoto ni Lily Machota na Fredinando
Sister mlezi wa VIWAWA Parokia ya Boko Sir. Sabina

Aliyekuwa Padre Mlezi wa VIWAWA Parokia ya Boko PD. Dominiki Mwaluko kwa sasa ni Paroko Parokia ya Kunduchi
vijana wakitumbuiza kwenye sherehe ya Pentekoste


NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR