
Thursday, October 16, 2014
Je! unataka kushiriki kwenye mafunzo ya ujasiriamali
VIJANA WALIOPO TAYARI KUSHIRIKI KATIKA SEMINA YA UJASIRIA MALI NA KUPATA MAFUNZO KWA VIKUNDI WAANZE KUJIANDIKISHA.
Kulekea kwenye Kongamano la Vijana wa Parokia ya Bunju na Boko,
Tunawakaribisha vijana wote waliopo tayari kwenye ujasiriamali na wale
ambao wanataka kuanza kufanya ujasiria mali, Mafunzo haya yataanza
sanjari na semina ya mwaka wa familia,
ambapo vijana watapata kujua na kujifunza mambo mbali mbali kuhusiana
na familia, lakini kubwa zaidi ni mafunzo au elimu ya ujasiriamali
itakayofundishwa na Ndugu, Dhino,
tukiwa na malengo yakuwabanua vijana mawazo, na kuwajengea mbinu na
misingi mizuri katika ujasiriamali, na baada ya kongamano hilo
tunatarajia kuunda vikundi vidogo vidogo vya ujasiriamali ambavyo
vitaendelea kupata mafunzo haya na kuanzia miradi mbali mbali.
Ukiwa wewe ni mjasiriamali au unaelimu ya ujasiriamali basi tunaomba uwasiliane nasi kwa anuani pepe yetu: abyshine3@gmail.com au piga simu 0713 900 905 tuweze kufanya maandalizi ya awali, Mungu azidi kuwabariki

Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
Isidore Bakanja, ambaye alitoa maisha yake kwa ajili ya imani ya Kikristo, Akiongozwa na maisha rahisi kama layman Katoliki wakati wa mauaj...