Showing posts with label Kardinal Pengo atoa daraja la ushemasi na Upadre na kutangaza Parokia mpya tarehe 6/01/2015. Show all posts
Showing posts with label Kardinal Pengo atoa daraja la ushemasi na Upadre na kutangaza Parokia mpya tarehe 6/01/2015. Show all posts

Tuesday, January 6, 2015

IBADA YA MISA TAKATIFU YA UTOAJI DARAJA LA USHEMASI NA UPADRE LEO KANISA LA ST. JOSEPH, JIMBO KUU LA DAR ES SALAAM

Mafratel waliopata Ushemasi,
  1. Shemasi DanielMatugwa Vicent -  Parokia ya Changombe
  2. Shemasi Meinrad Bigirwamungu - Parokia ya Mtongani
  3. Shemasi Raymond AlbanoMbaula  -  Parokia ya Kigamboni
Na Shemasi aliyepata daraja la Upadre  ni Padre Tito Deogratius Rwegoshora - Parokia ya Kibaha

Baba Askofu Kardinal Pengo atangaza Kigango cha Orongoni kuwa Parokia na kitahudumiwa na Mapadre wa Shirika la Wamisionari wa Mt. Francis wa Asizi.
Pia ametangaza Parokia Teuli ambazo zitakuwa chini ya uangalizi mpaka zitakapokuwa Parokia ambazo ni;
  1. Kigango cha Ununio kilichokuwa chini ya parokia ya Tegeta na kitakuwa kinahudumiwa na Mapadre wa Shirika la Mt. Vicent wa Mbinga.
  2. Kigango cha Mt. Yohane Mtume Nyaishozi kilichokuwa chini ya Parokia ya Tegeta na kitakuwa kinahudumiwa na Mapadre wamisionari wa Maria Emaculate 
  3. Kigango cha Thomas More kilichokuwa chini ya Parokia ya Mt. Gasper kitakuwa kinahudumiwa na Mapadre wa Jimbo na Paroko atakuwa PD. Gilbert Makuru aliyekuwa Paroko Msaidizi wa Parokia ya Mikocheni


NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR