Tuesday, April 2, 2013

RATIBA YA JUMA TAREHE 02-07/04/2013

Safisha mwenendo wako kuwa mfano kwa jamii yako, toa mafundisho ya dini zaidia wasiojiwezi....Maisha ya Kitakatifu.

lipa ada yako ya mwezi kwa kiongozi wako wa jumuiya, Kanda au Kigango. 
  1.  JUMAMOSI TAREHE 06/04/2013
 Vijana wote unatakiwa kushiriki makusanyiko ya Jumuiya...shiriki katika Jumuiya yako saa 12:30 asubuhi.

  Viongozi wote wa VIWAWA ngazi ya Jumuiya Kigango cha Mt Rafael mnatakiwa kukutana Kanisani saa 10:00 jioni kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa viongozi wa Vijana Kigango.

  
 
 2.JUMAPILI TAREHE 24/03/2013
Vijana ndiyo chachu ya Kanisa Nguvu kubwa ya Ujenzi na Mabadiliko yaanze kwetu Hudhuria Misa Jumapili kama Amri ya Kanisa inavyotuelekeza.
  
  JUMAPILI TAREHE 07/04/2013
      RATIBA ZA IBADA 
KIGANGO CHA BOKO.
MISA YA KWANZA 12:30-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI
KIGANGO CHA MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 1:00-3:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 3:00-4:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
MISA YA KWANZA SAA 1:00-3:00 ASUBUHI.
MISA YA PILI SAA 3:00-5:00 ASUBUHI 

KANDA MAALUMU YA ANTONY WA PADUA -MBWENI TETA
MISA NI SAA 3:00 ASUBUHI


Kutakuwa na Kikao cha Halamashauri Ya VIWAWA Parokia ya Boko -Kikao kitaanza saa 4:30 asubuhi...Kigangoni Rafael wajumbe ni Viongozi wote wa Vigango fika bila kukosa Tuukuze UTUME wetu

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR