Showing posts with label MKUTANO MKUU 2013 JUNE. Show all posts
Showing posts with label MKUTANO MKUU 2013 JUNE. Show all posts

Saturday, May 18, 2013

MKUTANO MKUU TAREHE 01/06/2013

TANGAZO LA VIWAWA KWA VIGANGO, KANDA NA JUMUIYA ZOTE

TUMSIFU YESU KRISTO:
         YAH: TAARIFA YA MABADILIKO YA TAREHE YA MKUTANO MKUU
WA VIWAWA NGAZI YA PAROKIA

 Uongozi wa VIWAWA  Parokia unapenda kuwataarifu, viongozi wote wa VIWAWA ngazi ya Kigango, Kanda na Jumuiya kuwa ule mkutano mkuu, uliokuwa ufanyike tarehe 02/06/2013, Kwa  sasa utafanyika tarehe  01/06/2013, siku ya Jumamosi ,  Katika ukumbi wa Masister ,Parokiani Boko. Muda ni kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa kumi jioni.
Kila mjumbe anatakiwa kuchangia tshs 3500 kwa ajili ya chakula cha mchana.
Ni  mkutano muhimu sana kwa maendeleo ya utume wetu, jitahidi mfike viongozi wote wa tano kwa ngazi mliopo .
  Mapendo…………………

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR