Monday, March 3, 2014

Mafungo ya Kwaresima Consolata Mission Centre - Bunju

Kituo cha Consolata mission center Bunju, kinawaalika Vijana wote katika Mafungo ya kwaresima, yatakayofanyika  siku ya jumamosi tarehe 08/03/2014 siku ya jumamosi

Mada ni: "INJILI YA FURAHA:EVANGELII GAUDIUM"

Ada ya ushiriki kwa kila Kijana ni TSHS 5000 kwa ajili ya chakula na chai .Fika bila kukosa na jitahidi ufike kabla ya saa Mbili asubuhi .......

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR