Monday, October 13, 2014

VIKAO VYA MAANDALIZI (KONGAMANO LA UJIRANI MWEMA


VIKAO VYA MAANDALIZI (KONGAMANO LA UJIRANI MWEMA.

Baada ya ya kukutana na wadai na walezi wetu kwa malengo ya kuboresha Kongamano letu, Jumapili ijayo ya tarehe 19/10/2014, tutakuwa na kikao cha kwanza ambacho kitawahusicha wajumbe wote wa Halmashauri ya VIWAWA parokia ya Bunju na Boko, kikao hichi kitafanyikia Parokiani Bunju mara baada ya misa ya Pili ni Muhimu ukiwa mjumbe kuhuzuria, pia Ticketi za ushiriki zitaanza kupatikana hiyo siku tarehe 19/10/2014, kwa Wahazini wote wa Ngazi ya Parokia, Kigango na Jumuiya kwa Tshs 18,000 tu wahi mapema upate ticketi yako. nafasi ni kwa vijana 140 tu

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR