Monday, February 25, 2013

YA KWETU TENA 2013

Ule mchakato wa Ziara katika Jimbo la Mbulu na kutembelea Mbuga ya Ngorongoro umekamilika, sasa kazi ni kwako kijana kuanza kufanya Maandalizi ya Ushiriki wako..ni nafasi ya pekee sana kwetu...

Tarehe 26-30/06/13..Vijana wa Parokia ya Boko tutafanya ziara ya kuinjilishi katika Parokia ya Daudi iliyopo Jimbo la Mbulu Mkoani Manyara......ikiwa ni pamoja na kutembelea Kanisa kuu la Jimbo la Mbulu ambalo ndilo kanisa Katoliki kubwa kuliko yote hapa Tanzania na la tatu kwa ukubwa Barani Afrika.
Pia tutatembelea mbuga ya wanyama ya Ngorongoro na kujionea mengi
WANYAMA WAKIWA WAMEPUMZIKA KANDO YA ZIWA HUKO NGOROGORO  

Kwa mchango wa Tshs 150,000/= tu wahi sasa kujiandikisha nafasi ni kwa vijana 60 tu........wasiliana na uongozi wa vijana mahali ulipo au waone viongozi wa Jumuiya yako.

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR