Tuesday, March 19, 2013

PICTURE ZA HIJA YA VIJANA - BAGAMOYO 2013

 Vijana wakiwa kwenye njia ya msalaba wakielekea kituo cha mwisho ndani ya kanisa la Bagamoyo.



Viongozi wa Parokia ya Boko kutoka kulia ni Eppie Mwikola-Mhazin, Flora Magele-Mwenyekit Msaidizi, Abel Reginald-Mwenyekiti, Frida Meeda-Katibu na Timoth Jafethy-Katibu Msaidizi






2 comments:

  1. nawaona bwana mmependeza sana na kama mlivyopendeza m2fanye na sisi 2pendeze kiroho jaman!!!

    ReplyDelete
  2. Umeona eheee tunataka wafanye kazi hadi mapendo....yawe yamejaa ndani ya mioyo yetu

    ReplyDelete

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR