Thursday, May 7, 2015

MVUA ZAENDELEA KUWATESA WATU DAR



Baada ya mvua ya kubwa ya kama masaa mawili mfululizo,maeneo mengi jijini Dar yamejaa maji na kupelekea adha kubwa kwa wakazi wa jiji hili.Pichani ni eneo la Morogoro Road
Barabara ya Bibi Titi Mohamed mambo yalikuwa namna hii,wenye magari madogo walipita kwa staili ya maji ya shingo

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR