Monday, October 26, 2015
CCM WAMETETEA JIMBO LA CHALIZE MSHINDI NI RIDHWANI KIKWETENA HAWA GHASIA MTWARA VIJIJI ASHINDA
Ridhwani Kikwete (CCM) amefanikiwa kutetea kiti chake cha Ubunge wa Jimbo la Chalinze. Vilevile Hawa Ghasia (CCM,Mtwara Vijijini) na Shukuru Kawambwa (CCM,Bagamoyo) wamefanikiwa kutetea viti vyao vya Ubunge.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
MAJIMBO YA ILALA, SEGEREA NA UKONGA – CCM ITAKUWA NA WAKATI MGUMU Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ipo kati ya Latitudo 6 na 7 kusini mwa I...
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Madhara Yanayosababishwa na Ponografia HABARI ya kila aina kuhusu ngono inapatikana kwa urahisi kupitia televisheni, sinema, video za muzik...
No comments:
Post a Comment