Monday, October 26, 2015
CCM WAMETETEA JIMBO LA CHALIZE MSHINDI NI RIDHWANI KIKWETENA HAWA GHASIA MTWARA VIJIJI ASHINDA
Ridhwani Kikwete (CCM) amefanikiwa kutetea kiti chake cha Ubunge wa Jimbo la Chalinze. Vilevile Hawa Ghasia (CCM,Mtwara Vijijini) na Shukuru Kawambwa (CCM,Bagamoyo) wamefanikiwa kutetea viti vyao vya Ubunge.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Mkoa wa Njombe ni moja kati ya mikoa Tanzania, ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya...
-
Shujaa wetu: Franz Wesinger-Mhandisi aliyejenga kanisa Katoliki Mbulu Kanisa la Mbulu ndilo kanisa kubwa kuliko yote Tanzania na la ...
-
Isidore Bakanja, ambaye alitoa maisha yake kwa ajili ya imani ya Kikristo, Akiongozwa na maisha rahisi kama layman Katoliki wakati wa mauaj...
No comments:
Post a Comment