Tuesday, October 27, 2015

JERRY SLAA APOTEZA JIMBO LA UKONGA

Majira ya SAA kumi na nusu alfajiri. Waitara Mwita was CHADEMA ametangazwa kunyakua kiti cha Ubunge Ukonga, kwa kumbwaga Jerry Slaa wa CCM ambaye alikuwa mpinzani wake mkubwa

No comments:

Post a Comment

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR