Sunday, September 2, 2012

SALA YA VIWAWA

   SALA YA VIWAWA

Bwana Yesu nashukuru kwa siku hii ya leo.Nakukabidhi kazi za
mikono yangu,na matumaini yangu,jitihada zangu,furaha zangu na
huzuni zangu.

Nisaidie mimi na vijana wenzangu ili tuweze kufikiri kama wewe
kufanya kazi na wewe na kuishi ndani yako.

Nisaidie nikupende kwa moyo wangu wote na kukutumikia kwa nguvu
zangu zote.

YOTE MIPANGO YA MUNGU

Paroko wa Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli- Bunju Padre Thomas Mtei akiwa na Padre Adolph Majeta aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Boko. wakati wa sherehe za Upadrisho na Bunju kutangazwa Parokia.

Monday, August 27, 2012

WALEI PAROKIA

Baadhi ya viongozi wa halmashauri ya Walei parokia yaBoko wakiwa na Baba Paroko siku ya somo wa Parokia na kilele cha Tamasha la vijana tarehe 12/08/2012

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR