Tuesday, October 9, 2012

"NOW ITS TIME TO ACT"

KIJANA HAI AWE NA SIFA ZIFUATAZO;
  • Alijue Neno la Mungu.
  • Kupokea Sakramenti(Kiutubio na Ekaristi Takatifu.
  • Kushika Amri za Mungu na za Kanisa.
  • Kushiriki Sala, Mafungo na Hija mbali mbali.
  • Kushiriki katika jumuiya ndogo ndogo, kuhudumia Kanisa na vikundi vya Sala.
  • Kuhubiri habari njema.
  • Kuacha Dhambi na kuwasaidia wengine
  • Kutumia karama mbali mbali kwa ajili ya sifa na utukufu wa sifa kwa Mungu
  • Kufanya kazi kwa bidii . 
  • Kukubali kuteseka kwaajili ya kutenda mema.    

Be commited to God to build your future. 
"focus in positive to wine"

VATICAN CITY


Friday, October 5, 2012

CONSOLATA MISSION CENTER -BUNJU

Kituo cha Consolata mission center Bunju, kinawaalika Vijana wote katika mkesha wa kimisionari, Mkesha huo utafanyika siku ya jumamosi tarehe 27 kuamkia jumapili ya tarehe 28. 

Mada ni: "Kama baba alivyonipeleka mimi, mimi nami nawapeleka ninyi(yoh:20:21)" Mada zitatolewa na Wamisionari kutoka nchi mbali mbali

Ada ya ushiriki kwa kila Kijana ni TSHS 4000 kwa ajili ya chakula na chai .Fika bila kukosa na jitahidi ufike kabla ya saa kumi na mbili jioni kwa usalama.......

Friday, September 21, 2012

SOMO WA KIGANGO CHA MBWENI MALINDI

Prayers to St. Raphael,
the Archangel
Patron of Travelers
to Angels We Have Heard On High
Prayer for Healing
Glorious Archangel St. Raphael, great prince of the heavenly court, you are illustrious for your gifts of wisdom and grace. You are a guide of those who journey by land or sea or air, consoler of the afflicted, and refuge of sinners.
I beg you, assist me in all my needs and in all the sufferings of this life, as once you helped the young Tobias on his travels. Because you are the "medicine of God" I humbly pray you to heal the many infirmities of my soul and the ills that afflict my body. I especially ask of you the favor (here mention your special intention), and the great grace of purity to prepare me to be the temple of the Holy Spirit. Amen.


SIKUKU YA SOMO WETU: September 29

Kujua zaidi maisha ya Mt. Raphael clck here.. St. Raphael's biography 

Wednesday, September 19, 2012

MJUE MWENYE HERI ISIDORI BAKANJA

Bakanja, Isidore
c. 1885 to 1909
Catholic Church
Democratic Republic of Congo


Isidore Bakanja, who gave his life for the Christian faith, led a simple life as a Catholic layman at the time of the atrocities perpetrated by King Leopold II's regime in the Congo Free State. He was born at Bokendela on the river Congo, north of the town of Mbandaka (formerly Coquihatville). His father and mother were called Iyonzwa and Inyuka. Bakanja's own name was variously pronounced as Bakanda, Bakana, Bokando, Makanda and Makando. In his early twenties Bakanja went down river to Mbandaka seeking employment. There he became a mason and was employed by the government in the building industry. While in Mbandaka he came across Catholic missionaries of the Trappist (Cistercian) Order, was instructed by them and was baptized at St. Eugene's parish, Bolokwa-Nsimba, on May 6th, 1906. He received First Communion and Confirmation later in the same year. Bakanja lived his new faith very simply, cherishing the two external signs of the rosary and the scapular which he never failed to wear. By word and example, he attracted friends and acquaintances to the Christian faith....Click here kusoma zaidi.........



Saturday, September 15, 2012

ASANTENI SANA..............

MAPENDO SANA.........ME PIA KAMA KATIBU WA VIWAWA PAROKIA YA BOKO NAPENDA SANA KUTOA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWA WALEZI PD. MAJETA, PD DISMAS, SISTER SABINA NA FRATEL PAUL,PIA KWA BARAZA LA WALEI PAROKIA YA BOKO NA BUNJU, UONGOZI WA VIWAWA PAROKIA YA BOKO,UONGOZI WA KIGANGO CHA BUNJU,MABWE PANDE,KIDIMU NA VIKAWE KWA PAMOJA SASA NI PAROKIA YA BIKIRA MARIA WA MLIMA KARMEL- BUNJU.

PIA NAWASHUKURU VIONGOZI WA KIGANGO CHA BOKO, MBWENI NA MBWENI MALINDI KWA PAMOJA SASA NI PAROKIA YA MWENYE HERI ISIDORI BAKANJA- BOKO. PAMOJA NA VIJANA WOTE WA PAROKIA YA BUNJU NA WA PAROKIA YA BOKO KWA USHIRIKI WAO KWANZIA KWENYE MAJETA CUP MPAKA KWENYE TAMASHA, TUNAWAPENDA SANA NA UPENDO UZIDI MIOYONI MWETU ILI TUWEZE KUUKUZA ZAIDI UTUME WETU WA VIWAWA.

 PIA NAWASHUKURU WAZAZI NA WALEZI KWA MICHANGO YAO ILIYOFANYA SISI KUWEZA KUFANIKISHA YOTE HAYO, MUNGU AWABARIKI SANA NA AWAZIDISHIE PALE WALIPOTOA.

NA MWISHO NAWASHUKURU SANA WAKUFUNZI WOTE TULIKUWA NAO KWA KUUTOA MUDA WAO WANAKUFUNDISHA VIJANA. MUNGU AWABARIKI SANA.

MWISHO NI KWA KAMATI ZOTE ZA TAMASHA KAZI YENU IMEONEKANA NA TUNAWASHUKURU SANA KWA USHIRIKIANO ULIOTUPATIA NA KWA WALE NILIOWAKWAZA NAWAOMBA WANIWIE RADHI NA TUZIDI KWA PAMOJA KUUENDELEZA HUU UTUME WETU.
                                       NAWAPENDA SANA

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR