Tuesday, May 14, 2013

RATIBA YA PAROKO CUP 2013 PAROKIA YA BOKO




TIMU SABA ZA MPIRA WA MIGUU NA PETE AMBAZO NI:
1.      KIGANGO CHA MT. FRANSIS WA ASIZ (MBWENI)
2.      KIGANGO CHA DAMU TAKATIFU(KANDA YA B.M WA MASAADA NA MT. ALOYCE (BOKO)
3.      KIGANGO CHA MT. ANTONY WA PADUA (KANDA. (MBWENI TETA)
4.      KIGANGO CHA MH. ISIDORI BAKANJA (KANDA MT.  YUDA THADEI NA MT. GERMANA(BOKO)
5.      KIGANGO CHA MT. RAPHAEL(MBWENI MALINDI)
6.      KIGANGO CHA MT. GASPER (KANDA YA MT. JOSEPH NA MT.PETRO (BOKO)
7.      KIGANGO CHA MT. MARIA DEL MATHIAS (KANDA YA B.M AFYA YA WAGOJWA NA MT. FRANSIC WA ASIZI (BOKO)

KANUNI ZA MASHINDANO
1.     Ni lazima kusali kabla na baada ya mechi
2.     Mchezaji ni lazima awe Kijana Mkatoliki Mfanyakazi(KIWAWA) lazima awe amelipa ada zote za chama.
3.     Kila mchezaji ajaze Form ya usajili Uongozi uhakikishe majina yamejazwa kwa usahihi  pamoja na picture zake mbili na form iwakilishwe kwa kamati ya mashindano wiki  mbili kabla ya mashindano kuanza.
4.     Timu itayoanzisha fujo kwa wachezaji wake kupigana na timu pinzani au mwamuzi  timu itatoliwe kwenye mashindano na italipa faini isiyopungua 30,000/=
5.     Mashabiki watakatumia lugha chafu watainyima timu nafasi ya kusonga mbele pamoja na uongozi wa sehemu husika kuwajibishwa.



LIGI INAENDESHWA KWA MTINDO WA MAKUNDI, TUNA MAKUNDI MAWILI

           KUNDI A                                                                         KUNDI B
1.      KIGANGO CHA MBWENI                                        1. MT. RAPHAEL MBWENI MALINDI                              
2.      MT. GASPER (MALI ASILI)                                       2. MARIA DEL MATHIAS BOKO CALIFONIA
3.      DAMU TAKATIFU BOKO MASIHAYA                     3.ANTONY WA PADUA MBWENI TETA
4.      ISIDORI BAKANJA BOKO CCM
RATIBA
KUNDI A
TAREHE
MECHI
UWANJA
MUDA
O8/06/13
DAMU TAKATIFU VS MBWENI
BOKO
10:00 JIONI
12/06/13
ST. GASPER VS DAMU TAKATIFU
BOKO
10:00 JIONI
16/06/13
MBWENI VS ST. GASPER
MBWENI
10:00 JION

MWISHO WA MZUNGUKO WA KWANZA


14/07/13
ST. GASPER VS MBWENI
BOKO
10:00 JIONI
21/07/13
DAMU TAKATIFU VS ST. GASPER
BOKO
10:00 JIONI
28/07/13
MBWENI VS DAMU TAKATIFU
MBWENI
10:00 JIONI
KUNDI B
09/06/13
MH.BAKANJA VS ANTONY WA PADUA
BOKO
10:00 JIONI
09/06/13
MT.RAFAEL VS MT. DEL MATHIAS
MBWENI MALINDI
10:00 JIONI
12/06/13
MT.ANTONY WA PADUA VS MT. RAFAEL
MBWENI TETA
10:00 JIONI
12/06/13
MT. DEL MATHIS VS MH. BAKANJA
BOKO
10:00 JIONI
16/06/13
MT. BAKANJA VS MT. RAFAEL
BOKO
10:00 JIONI
16/06/13
ANTONY WA PADUA VS MT. DEL MATHIAS
MBWENI TETA
10:00 JIONI

MWISHO WA MZUNGUKO WA KWANZA


14/07/13
MT. RAFAEL VS MH.BAKANJA
MBWENI MALINDI
10:00 JIONI
14/07/13
 MT. DEL MATHIAS VS ANTONY WA PADUA
BOKO
10:00 JIONI
12/06/13
MT. RAFAEL VS  MT.ANTONY WA PADUA
MBWENI MALINDI
10:00 JIONI
12/06/13
MH. BAKANJA  VS MT. DEL MATHIS 
BOKO
10:00 JIONI
16/06/13
MT. DEL MATHIAS VS MT. RAFAEL
BOKO
10:00 JIONI
16/06/13
ANTONY WA PADUA VS MH. BAKANJA
MBWENI TETA
10:00 JIONI
NUSU FAINAL
04/08/13
MSHINDI WA 1 KUNDI A VS MSHINDI WA PILI KUNDI B

10:00 JIONI
04/08/13
MSHINDI WA 1 KUNDI B VS MSHINDI WA PILI KUNDI A

10:00 JIONI
FAINAL
10/08/13
MSHINDI WA TATU

8:00 MCHANA
10/08/13
FAINAL

10:00 JIONI

NB: RATIBA HII NI KWA MPIRA WA MIGUU NA WA PETE MECHI ZITACHEZWA KWA WAKATI  MMOJA..MAPENDO SANA…………e]



Tuesday, April 30, 2013

PAROKO CUP 2013

Baada ya kufanikiwa kwa asilimia kubwa, kwa msimu wa mwaka jana...Mwaka huu maandalizi yameanza mapema kabisa.

Msimu wa mwaka 2012 tulikuwa na timu nne za mpira wa miguu,kwa upande netball hapakuwa na timu.
Mashindano yaliendeshwa kwa mfumo wa ligi, Mshindi kwa upande wa mpira wa miguu walikuwa Kigango cha Mbweni- walipata zawadi ya kombe na Medali,kwa upande wa Mpira wa Pete (Netball) tulifanya Bonanza na washindi walikuwa Kigango cha Boko- walipata zawadi kombe na medali

kw msimu huu wa mwaka 2013-2014 tumejitahidi kuboresha zaidi kwa kuongeza idadi ya timu toka timu nne hadi timu saba za mpira wa miguu na mpira pete.
pia tumeandaa zawadi nyingine zaidi ya kombe na medali. ikiwa ni pamoja na vyeti vya ushiriki kwa kila mwanamichezo.
Kwa upande wa michezo ya ndani tumejipanga kuboresha Vikundi vya maigizo, kuunda kikundi vya ngoma, lengo nikuona kila kijana anashiriki kikamilifu 

ili kumuwezesha kila kijana kushiriki tukaona tuunde vigango vya kimichezo. kama imefuatavyo;
Kigango cha boko tumekigawa sasa vitakuwa vigango vinne lengo kubwa ni kila kijana aweze kushiriki
Kigango cha Mt. Raphael
kigango cha Mbweni
Kanda ya Antony wa Padua(kigango kimichezo)

Tukiwa tunaamini michezo huwa inaleta afya nzuri pia inaweleta watu pamoja ni malengo yetu kuona kila kijana wa parokia hii anashiriki kwa namna moja katika michezo hii.
tunatarajia mashindano kufunguliwa mwezi june, hivyo tunazidi kusisitiza timu ziendelee na mazoezi muda si muda tutawatangazia ratiba nzima ya mashindano.

TUNAWATAKIA MAANDALIZA MEMA ...MAPENDO SANA

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR