Thursday, October 10, 2013

Ziara ya Uinjilishaji JImbo la Mbulusehemu ya Promo www viwawaboko blogs...

MASOMO NA MATANGAZO YA J2 YA DOMINIKA YA 23 MWAKA C TAREHE 13/10/13

JUMAPILI DOMINIKA YA 28 ya Mwaka C.
      RATIBA ZA IBADA 
KIGANGO CHA MH. ISIDORI BAKANJA- BOKO.
MISA YA KWANZA 12:15-2:00 ASUBUHI
MISA YA PILI     SAA 2:00-4:00 ASUBUHI
MISA YA TATU SAA 4:00-5:30 ASUBUHI
KIGANGO CHA MT. FRANCIS WA ASIZ-MBWENI 
MISA YA KWANZA SAA 1:10-3:00 ASUBUHI
MISA YA PILI SAA 3:00-4:30 ASUBUHI

KIGANGO CHA MT. RAFAEL-MBWENI MALINDI
SAA 1:00-3:00 ASUBUHI.
MISA YA PILI SAA 3:00-5:00

KIGANGO CHA ANTHONY WA PADUA-MBWENI TETA
MISA NI SAA 3:00-5:00.


MASOMO 

 Somo 1:2Fal.5:14-17
Naamani alishuka, akajichovya mara saba katika Yordani, sawasawa na neno lake yule mtu wa Mungu; nayo nyama ya mwili wa mtoto mchanga, akawa safi. Akamrudia yule mtu wa Mungu, yeye na mafuatano yake yote. akaja akasimama mbele yake; akasema sasa tazama, najua ya kwamba hakuna Mungu duaniani mwote, ila katika Israel, basi nakuomba upokee mbaraka kwa utumwa wako. lakina akasema, kama Bwana aishivyo, ambaye nimesimama mbele yake, sipokei kitu. Akamshurutia apokee; lakini akakataa. naamani akasema, kama sivyo, lakini mtumwa wako na apewe mzigo wa udongo wa baghala wawili; kwa maana mtumwa wako hatatoa tena sadaka ya kuteketezwa wala dhabihu kwa miungu mingine, ila kwa Bwana.

SOMO 2: 2Tim.2:8-13
Mkumbuke Yesu Kristo, aliyefufuka katika wafu, wa uzao wa Daudi kama inenavyo Injili yangu. Nami katika hiyo nimeteswa hata kufungwa kama mtenda mabaya; lakini neno la Mungu halifungwi. Kwa ajili ya hilo nastahimili mambo yote, kwa ajili ya wateule, ili wao nao waupate wokovu ule ulio katika kristo Yesu, Pamoja na utukufu wa Milele.
 Ni neo la kuaminiwa. kwa maana, kama tukifika pamoja naye, 
Tutaishi pamoja naye pia: kama tukistahimili tutamiliki pamoja naye;
Kama tukimkana yeye, yeye naye atatukana sisi, 
Yeye hudumu wa kuaminiwa. Kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.

INJILI. :Lk.17:11-19
Yesu alipokwenda njiani kwenda Yerusalemu, alikuwa akipita katikati ya Samaria na Galilaya. Na alipoingia katika kijiji kimoja, alikutana na watu kumi wenye ukoma; wakasimama mbali, wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu! Alipowaona aliwaambia, Enendeni, mkajioshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika a mmoja wao alipoona kwamba wamepona, alirudi, huku akimtukuzaMungu kwa sauti kuu; akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa msamaria. Yesu akamjibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale kenda wako wapi? je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu Utukufu ila mgeni huyu? akamwambia, Inuka, nenda zako, Imani yako Imekuokoa.
             
  1.  Maandalizi ya Dekania Cup yanaendelea kwa upande wa tImu ya Mpira wa  Pete.


  1. tunawakumbusha vijana wote kuendelea kulipa ada kwa maendeleo ya chama chetu..... mapendo sana malipo kwa njia ya benk kwa jina na number hii :viwawa parokia ya boko account no 01524526820100 crdb bank tegeta branch
JIANDAE NA ZIARA YA UINJILISHAJI MWAKA 2014.....................

Saturday, October 5, 2013

Saint Gaspar del Bufalo History



Saint Gaspar del Bufalo
Gaspare del Bufalo.jpg
Confessor
Born January 6, 1786
Rome
Died December 28, 1837
Rome
Honored in Roman Catholic Church
Canonized June 12, 1954, Rome by Pope Pius XII
Feast December 28
Saint Gaspar del Bufalo (January 6, 1786 – December 28, 1837), also known as Gaspare del Bufalo, was a Roman Catholic priest and the founder of the Missionaries of the Precious Blood.

Life

Gaspar del Bufalo was born in Rome on the Feast of the Epiphany, January 6, 1786. He was baptized that same day and given the name Gaspar Melchior Balthazar, the traditional names of the magi who visited the child Jesus. The son of Annunziata and Antonio del Bufalo, he grew up in the city of Rome, in the servants' quarters of a noble family, where his father worked as chef.
His father was a failed entrepreneur who had dabbled in the theater and in professional soccer before taking a position as a cook in the household of the Altieri family, whose palace was across from the Church of the Gesù in Rome.
Because of his delicate health, his pious mother had him confirmed at the tender age of one and a half years. As he was suffering from an incurable malady of the eyes, which threatened to leave him blind, prayers were offered to St. Francis Xavier for his recovery. Through the influence of his mother, Annunziata, he became greatly devoted to Saint Francis Xavier, whose relic is prominently displayed on an altar of the Gesù. In 1787, he was miraculously cured, wherefore he cherished in later life a special devotion to the great Apostle of India, and selected him as the special patron of the congregation which he later founded.
Gaspar was also active in several ministries. He visited the sick and the poor, often and founded a young persons’ religious organization whose members prayed and did charitable work together. He was ordained to the priesthood in the diocese of Rome in 1808. soon after Gaspar formed an evening society for the laborers and farm workers who came into Rome from the countryside to sell their wares. He provided catechism for orphans and children of the poor; and set up a night shelter for the homeless.
Along with other clergy who refused to take the oath of allegiance to Napoleon Bonaparte in 1808 after the deportation of Pope Pius VII, he was sent into exile to northern Italy and imprisoned for four years. Upon his return to Rome in 1814, he considered joining the Jesuits, who had recently been reestablished. However, in view of the needs of the time and at the request of Pius VII, he engaged in the ministry of preaching missions to the people in order to reestablish some order in the midst of the chaos of the time.

Missionaries of the Precious Blood

Gaspar
Despite facing considerable difficulties, in 1815 he founded a society of priests, the Missionaries of the Precious Blood, at the abbey of San Felice in Giano. Umbria. With the help of local people, Gaspar worked to repair the abandoned 10th century monastery.
The year 1821 was a time of great lawlessness in the Papal States and many towns were out of the control of the civil authorities. Bandits controlled many of the towns in the coastal provinces. Cardinal Cristaldi, papal treasurer and advisor to Pope Pius VII suggested that Gaspar and his new band of missionaries go into the towns and provinces where the bandits lived and establish mission houses. There they were to preach the Word, establish churches and chapels, and see to the continued instruction of the people. Between 1821 and 1823 six new mission houses were opened. Gaspar and his companions went out and preach the merits of the Precious Blood. They called the people to repentance and to return to faithfulness. They would preach on the street corners at night. They instructed the children. Armed with only the crucifix, they went into the hills, where Gaspar negotiated a piece with the banditi.
Although Gaspar was very popular in his native city, he was not without enemies. His activity in converting the "briganti", who came in crowds and laid their guns at his feet after he had preached to them in their mountain hiding-places, excited the ire of the officials who profited from brigandage through bribes and in other ways. These enemies almost induced Leo XII to suspend del Bufalo.
He also faced ecclesiastical opposition. One major objection to the new society was that its name, The Society of the Precious Blood, was considered unecclesiastical. Gaspar was accused of disregarding Canon Law and the mission cross and chain that the members wore was completely untraditional. This opposition began under the reign of Pope Pius VII (around 1820) who had been a strong support of the society at its founding in 1815. This opposition became so strong that the successor to Pius VII, Leo XII was positively adverse to the community. It is noted that this was at a time when Gaspar was being more and more open in his criticism of abuses in the Church and the government of the Papal States. St. Gaspar felt that this opposition was more of a personal attack on himself and so he offered to step down as moderator of the community so that things could be smoothed over. Fortunately, this was not needed as the situation with Leo XII was resolved after a meeting between the two of them.
His missionary efforts were extremely dramatic. One contemporary, the Passionist priest and bishop Saint Vincent Strambi, described his preaching as being "like a spiritual earthquake." He was also a friend of Saint Vincent Pallotti, founder of the Pallotines, who assisted at Gaspar's deathbed. He is particularly known for his devotion to the Precious Blood of Christ and for spreading this devotion during his lifetime.
Until his death on 28 December 1837, he worked tirelessly to re-evangelize central Italy, especially the Papal States. He was well known for his eloquence in preaching, his devotion to the poor (especially the Santa Galla Hospice in Rome), and his work with the brigands of southern Lazio.
In 1836 his strength began to fail. He had given his last mission in Rome at the Chiesa Nuova in 1837. Although fatally ill, he hastened to Rome, where the cholera was raging, to administer to the spiritual wants of the plague-stricken. He returned to Albano but went again to Rome at the suggestion of Cardinal Franzoni, the cardinal protector of the Congregation, in December 1837. It proved too much for him, and he succumbed in the midst of his labours on 28 December, 1837.
His funeral was held in Rome at the church of Sant'Angelo in Pescheria, near the Teatro di Marcello, and he was buried in Albano. Later, his body was transferred to the house of the Missionaries on the Via dei Crociferi in Rome (Santa Maria in Trivio), where it remains today.

Friday, October 4, 2013

vijana washiriki adhimisho la Siku ya Kimataifa ya Amani



Mamia ya watu vijana, Jumatano walikusanyika katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya amani , chini ya Mada: Elimu kwa ajili ya amani . Tarehe rasmi ya adhimisho hili kwa kila mwaka, ni 21 Septemba , na iliwekwa kwa lengo la kupata muda wa kutafakari kwa makini zaidi, manufaa ya amani badala ya migongano, na hivyo kutoa wito kwa jumuiya na jamii nzima duniani ipende amani na kusitisha ghasia zote.

Vijana waliokusanyika katika makao Makuu ya Umoja wa Mataifa walipata muda wa kushirikishana uzoefu katika kazi kwa ajili ya amani katika jumuiya zao duniani kote.

Sherehe hizi zilizinduliwa kwa mlio wa maalum wa Kengele, iliyopigwa katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kuashiria amani, na pia kama sehemu ya kuwakumbuka waliouawa na walio nusurika katika vita, pamoja na kuchagiza uwekaji chini silaha pale ambako vita vinaendelea. Ni mlio wa kengele ya amani, na wimbo wa amani.

Redio Umoja wa Mataifa imeripoti kwamba, wakati wa tukio hilo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon, alisema, siku hii ni siku ya kutafakari na kusisitiza imani katika maisha yasiyoandamana na ghasia, pamoja na kutoa wito wa kusitisha mapigano kote duniani. Akitrejea kauli mbiu ya mwaka huu kama "Elimu kwa ajili ya amani", Bwana Ban amesema elimu ndiyo silaha yenye nguvu zaidi. Na kila mtoto anastahili kupata elimu, ili ajifunze maadili yatakayokuza jamii zenye kuvumiliana na kuheshimu tofauti za watu wengine wanaoishi nao.

Katika Siku hii ya kimataifa ya amani, tuahidi kufundisha watoto wetu thamani ya kuvumiliana na kuheshimiana. Tukiipa elimu kipaumbele, tunaweza kupunguza umaskini na kutokomeza njaa, ili tuweze kujenga jamii zenye nguvu na bora zaidi kwa ajili ya wote.

Naye rais mpya wa Baraza Kuu John William Ashe, amesema hafla ya kupiga kengele ya amani ni muhimu kukumbusha majukumu ya Umoja wa Mataifa katika kuhakikisha ulimwengu wenye amani zaidi.

Tunapoisikia kengele hii ikilia, tukumbuke kuwa ni Umoja wetu wa Mataifa ndio ulioiweka siku hii ya kimataifa ya amani, katika kuzifanya nchi zote wanachama kuitambua na kutafakari kuhusu umuhimu wa amani, katika ulimwengu ambao umejaa mifano ya kila siku ya umwagaji damu, ghasia na vita. Ni siku ambayo tunajitoa kushirikiana kuendeleza amani.

TAREHE 4/10 SIKU YA MT. FRANCISKO

Papa awasili Assis.


Baba Mtakatifu Ijumaa hii (04/10/2013), amefanya ziara ya kichungaji kwenye mji wa asili wa Mtakatifu Francisko wa Assisi na kuadhimisha pamoja na maelfu ya waumini na wahujaji maadhimisho ya Sikukuu ya Mtakatifu Francisko inayosheherekewa kila tarehe nne ya mwezi Oktoba. Itakumbukwa kwamba Mtakatifu Francisko wa Assisi ndiye mtakatifu Msimamizi wa Italia.

Alipowasili mjini Assisi Papa alipokelewa na rais wa Senate ya Italia, mh. Pietro Grasso, na rais wa kanda ya Umbria, Mh. Catiuscia Marini. Alishuka kwenye ndege akiwa amejibebea begi lake leusi mkononi huku maelfu ya waumini na mahujaji wakipiga kelele za furaha wakisema: Viva il Papa. Naye Papa alirudisha salamu hizo kwa tabasamu na ishara za kuwabariki wote waliokuwa wakimkaribisha.

Wengi wa wahujaji wamesafiri kutoka mbali na wamekesha usiku kucha nje ya viwanja vya kanisa kuu la Mtakatifu Francisko na madhabahu ya Mtakatifu Maria, malkia wa Malaika, huku wakingojea kwa hamu na gamu kukutana naye Papa Francisko.

Baada ya salamu hizo Papa alielekea moja kwa moja kwa miguu kwenye kituo cha watoto na vijana walemavu cha Seraphicum ambako aliongea nao huku akiwakumbatia na kuwabusu kwa mapendo na maneno ya kuwatia moyo. Kwenye kuta za nje za kituo hicho cha watoto kulikuwa kumeandikwa maneno haya: “Papa Francisko, myenyekevu kati ya wanyenyekevu” na “Unamgusa Mungu aliye Hai, unaishi ukiabudu”

Kituo cha Seraphicum kilianzishwa na mwenyeheri Ludovik da Casoria mnamo tarehe 17 mwezi Septemba mwaka 1871, kama kumbukumbu ya makovu au stigmata ambayo Yesu alimshirikisha mtumishi wake Francis wa Assisi, kama ishara ya mateso ya Yesu ambayo wanashirikishwa pia walemavu. Kwa sasa hivi kituo hicho kina jumla ya walemavu 60 wanaotunzwa humo.

Alipowasili kwenye kituo cha Seraphicum Baba Mtakatifu alipokelewa na mwakilishi wake nchini Italia, Mons. Adriano Bernadini, na Askofu wa Assisi, Mons. Domenico Sorrentino. Papa aliandamana na Markadinali nane, washauri wake aliowateua hivi karibuni kwa ajili ya kutekeleza marekebisho ndani ya utendaji kazi wa vatikani, na kwa ajili ya kuboresha uongozi wa Kanisa pote ulimwenguni.

Papa alipokuwa anasalimiana na watoto na vijana wa Seraphicum wauguzi wengine walibeba juu kwa juu bango lenye maandishi: Francisko, jenga nyumba yangu- maneno ambayo yanasemekana kusemwa na Yesu mwenyewe kama mwaliko kwa Mtakatifu Francisko, aliyeacha vyote na kumfuata Kristo baada ya kuyasikia, alipokuwa akisali kwenye kanisa la Mtakatifu Dominiko, zaidi ya miaka mia nane iliyopita.

NCHI YANGU FAHARI YANGU TOUR